1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya

Halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya ndiyo chombo cha utawala cha Umoja wa Ulaya. Rais wake wa sasa ni Jean-Claude Juncker, mwanasiasa wa mrengo wa wastani wa kulia, zamani waziri mkuu wa Luxembourg.