1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Joe Biden

Joseph Robinette Biden Jr. ni mwanasiasa wa Kimarekani aliehudumu kama makamu wa 47 wa rais wa Marekani kuanzia 2009 hadi 2017. Biden pia aliwakilisha jimbo la Delaware katika bunge la Seneti kuanzia 1973 hadi 2009.