1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Mtindo wa maishaAfrika

Utafutaji Abaya na uchoraji heena ni miongoni mwa maandalizi ya Eid-Ul Fitr

Saumu Mwasimba
5 Aprili 2024

Wikendi ya mwisho ya mwezi wa Ramadhani waislamu wako kwenye ibada za mwishoni lakini pia kwenye maandalizi ya sherehe za Eid Ul Fitri. Heka heka za kutafuta Abaya za Eid zimepamba moto. Jiunge na Saumu Mwasimba amekuandalia uhondo kuhusu uchoraji heena huko Zanzibar na shamrashamra zilizotawala huko Burundi kuelekea Eid,katika makala ya Karibuni

https://p.dw.com/p/4eU34