1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Mtindo wa maishaAfrika

Unapendelea kocha wa Kiafrika au wa kigeni?

Bruce Amani
14 Februari 2024

“Kama makocha wa Kiafrika watapewa raslimali za kutosha na uhuru wa kufanya kazi yao bila uingiliwaji, hakuna timu ya taifa barani Afrika itahitaji kocha wa kigeni.“ Unakubaliana na hii? Hiyo ndio mada yetu katika Vijana Mubashara.

https://p.dw.com/p/4cOt2