1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo Ya Mchana: 01.10.2022

1 Oktoba 2022

Kiongozi wa kijeshi nchini Burkina Faso apinduliwa madarakani na wanajeshi wenzake. Uturuki yajiunga na Mataifa mengine duniani kuilaani Urusi kwa unyakuzi wa maeneo ya Ukraine. Bolsonaro na Lula wafanya kampeni za mwisho kabla ya uchaguzi mkuu nchini Brazil.

https://p.dw.com/p/4HcuC