1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makala ya Afrika Wiki Hii

Saumu Mwasimba
28 Machi 2024

Wasenegal wamchagua mwanasiasa kutoka kambi ya upinzani Bassirou Diomaye Faye kuiongoza nchi. Hali ya wasiwasi yaibuka nchini Togo baada ya bunge kupitisha katiba mpya inayoondowa mfumo wa mamlaka ya rais na kuuhamishia bungeni. Rais Tshisekedi wa Kongo asema jirani yake Paul Kagame ni msumbufu anayevuruga amani. Jiunge na Saumu Mwasimba.

https://p.dw.com/p/4eET6