1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Historia

Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani- Sehemu ya Tatu

Angela Mdungu-Jokisch19 Machi 2024

Mnamo mwaka 1884, bendera ya utawala wa kikoloni wa Ujerumani ilipepea huko Douala, Cameroon. Lakini katika mazungumzo yasiyo rasmi, mfanyabiashara mmoja aliyekuwa na makao yake mjini Hamburg aliyekuwa akifanya biashara kubwa ya vileo alijipatia fedha nyingi na alibeba jukumu kubwa ambalo lingewaathiri mamilioni ya Waafrika.

https://p.dw.com/p/4agxp