1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ipi sababu ya vijana kujiingiza katika magenge ya kihalifu?

Sylvia Mwehozi
11 Aprili 2024

Kuongezeka kwa magenge ya kihalifu ya vijana katika baadhi ya nchi barani afrika kumezidi kuibua wasiwasi. Makundi hayo ya kihalifu mara nyingi hufanya uporaji na kuwaumiza wananchi. Wengi wanasema hali ngumu ya kiuchumi ndio inachangia vijana kujitumbukiza katika magenge hayo. Sylvia Mwehozi ana mengi katika vijana Mubashara, 77asilimia

https://p.dw.com/p/4ef1l