1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenya

Kenya ni nchi ya Afrika Mashariki iliyoko katika Ikweta na kandoni mwa bahari ya Hindi. Inapakana na nchi za Ethiopia, Somalia, Tanzania, Uganda na Sudan. Jina la Kenya lilitokana na mlima Kenya, wa pili kwa urefu Afrika

Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi