1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaIran

Iran inaweza kumudu vita na Israel?

18 Aprili 2024

Washirika wa mataifa ya magharibi wanapanga vikwazo vipya "vya pamoja" dhidi ya Iran. Lakini taifa hilo lililotengwa kimataifa linajitutumua kuwa na uwezo wa kijeshi. Iran itamudu kweli kuingia vitani? Na gharama zipi watawala wake watalipa kwa kufikia malengo yake ya kijeshi?

https://p.dw.com/p/4ew1I