1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hali ya makazi mijini Afrika Mashariki

Reuben Kyama/MMT22 Machi 2024

Kwenye Makala Yetu Leo, tunaangazia hali ya makazi katika miji kwenye ukanda wa Afrika Mashariki. Shirika la makazi la Umoja wa Mataifa, UN-Habitat, linasema idadi ya wakazi wa mitaa ya mabanda inatazamiwa kufikia bilioni 3 ifikapo mwaka 2050 huku mzozo wa makazi ukizidi kuwa mkali duniani.

https://p.dw.com/p/4e0Qa