Israel imefanya mashambulizi ya kulipiza kisasi dhidi ya Iran+++ Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa jana lilikataa kuidhinisha azimio la kuipatia Palestina uwanachama kamili+++Taifa la Kenya limeanza maombolezo ya siku tatu baada kifo cha mkuu wa majeshi Jenerali Francis Ogolla