Ndege ya kijeshi iliyokuwa imembeba mkuu wa jeshi Jenerali Francis Ogolla imeanguka kati ya kaunti za Elgeyo marakwet na pokot magharibi nchini Kenya+++Umoja wa Ulaya umehimiza G7 kuchukua hatua za haraka kutoa msaada wa mifumo zaidi ya ulinzi wa anga kwa Ukraine+++Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu haki za binadamu, Volker Turk, amezuru kambi ya watu walioachwa bila makao huko Goma