1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

16.03.2024: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

V2 / S12S16 Machi 2024

Miongoni mwa utakayoyasikia asubuhi hii kwenye Taarifa ya Habari ni pamoja na Rais Vladimir Putin aahidi kujibu vikali mashambulizi ya Ukraine aliyodai yanalenga kuuvuruga uchaguzi nchini mwake: Ikulu ya White House yasema mpango wa kuivamia Rafah unahitaji maandalizi thabiti ya kuwalinda raia: Idadi kubwa ya majina ya wajumbe wa kuunda Baraza la Mpito nchini Haiti yawasilishwa.

https://p.dw.com/p/4dnKR