Tulionayo katika matangazo ya jioni jioni// Muungano wa Saudi Arabia wakanusha kupeleka vikosi vya ardhini kupambana na waasi wa Houthi Yemen// Kiongozi wa Madagascar Hery Rajaonarimampianina kuondowa kifungo cha nyumbani kwa aliyekuwa rais wa nchi hiyo//leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Shirika la UNESCO lammpa tuzo muandishi habari Mazen Darwish aliye kizuizini Syria.