Kila mwaka siku kama ya leo, dunia nzima inaungana pamoja katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga vitendo vya ukeketaji dhidi ya wanawake.
Baridi iliyoleta kizaazaa barani Ulaya imekwishaua watu 164, huku watu wanaoishi katika nchi za Ukraine na Italia wakiwa katika shida kubwa ya kukabiliana na viwango vya baridi ambavyo vimevunja rekodi barani Ulaya.
Kuanzia Jumatatu ya Februari 6, 2012, Deutsche Welle inajitokeza kwa sura mpya katika mtandao kwa kutumia anuani mpya ya www.dw.de; ruwaza mpya na matangazo ya TV yaliyofanyiwa marekebisho makubwa.
Sikiliza makala ya Afrika Wiki Hii na Mohammed Abdulrahman.
Idhaa yako ya Kiswahili ya DW inakupa fursa ya kupanda jukwaani kusema uliyonayo na ambayo ungelipenda ulimwengu uyasikiye, yawe ni masuala ya kisiasa, kijamii, kitamaduni au hata ya kifamilia.
Kwa miaka mingi bandari ya Mombasa ilikuwa kama kituo kikuu cha kupitisha mizigo kutoka nje ya bara la Afrika na kuelekea maeneo ya Afrika ya Mashariki na Kati, lakini sasa Dar es Salaam imeanza kuipiku. Kwa nini?
Mohammed Abdulrahman anaongoza kipindi cha maoni kutoka Deutsche Welle, swali kubwa likiwa hatima ya kisasa ya Kenya baada ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kuwakuta Wakenya wanne na kesi ya kujibu.
Shirika la Maripota wasio na Mipaka-RSF-limetoa ripoti yake ya mwaka 2011 inayohusika na uhuru wa vyombo vya habari katika nchi mbali mbali duniani-yaani uwezo wa waandishi habari kufanya kazi bila ya kuingiliwa kati.
Fuatilia michezo ya kuigiza kwa vijana kupitia DW ujuwe maisha ya kila siku barani Afrika.
Tembelea DW katika Facebook
Tembelea DW katika Twitter
Kipi kinachowafanya mamilioni ya watu kuhama makwao na kukimbilia ugenini?