1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika yatakiwa kuunda jeshi lake

10 Julai 2014

Serikali ya Tanzania imezitaka nchi za Afrika kuamka kwa kuanzisha jeshi maalumu litalohusika na utanzuaji wa mizozo inayoendelea kulikumba bara hilo na si kutegemea misaada ya kijeshi kutoka katika madola ya magharibi.

https://p.dw.com/p/1CZMo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard MembePicha: AP Photo

Wito huo ambao umetolewa na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bwana Bernard Membe aliyekuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na masuala mbalimbali unafuatia kuongezeka kwa machafuko katika bara hilo huku kukiwa hakuna juhudi mahsusi za kutanzua hali hiyo. George Njogopa na ripoti zaidi.

Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: George Njogopa
Mhariri: Saumu Yusuf

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi