Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mawaziri wa fedha wa G7 kujadili uchumi wa dunia Dresden// Vyama vikuu vya upinzani nchini Burundi vimesema "haitawezekana kamwe" kufanyika uchaguzi ulio huru na haki na kuwa havitayakubali matokeo ya uchaguzi huo ikiwa utaendelea kama ilivyopangwa// Benki ya maendeleo ya Africa inaadhimisha miaka 50 tangu kuasisiwa kwake