Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni pamoja na: Msaidizi wa rubani anaesemekana kuiangusha makusudi ndege ya Germanwings iliyokuwa na watu wengine 149 katika milima ya Alpes nchini Ufaransa,alitibiwa maradhi ya "msongo wa mawazo" miaka sita iliyopita. //Mashambulizi ya anga yauwa 40 Yemen