Vyuo Vikuu Tanzania vyapiga marufuku nguo zisizo maadili
Matangazo
Katika kipindi hiki cha Vijana Tugutuke, Stumai George anajadiliana na vijana juu ya marufuku hiyo iliyowekwa na vyuo vya elimu ya juu, kukubalika na kukatalika kwake miongoni mwa rika la vijana na athari za mavazi hayo kwa mustakabali wa taifa.
Kusikiliza majadiliano haya, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Makala: Stumai George
Mhariri: Josephat Charo