1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania: Kampeni dhidi ya matumizi mabaya ya mitandao

Admin.WagnerD2 Septemba 2014

Mamlaka ya Mawasiliano nchini Tanzania TCRA inaendesha kampeni inayolenga kukabiliana na matumizi mabaya ya mitandao ya mawasiliano, ikiwemo ya simu na intaneti, maarufku kama "Futa-Delete-Kabisa.

https://p.dw.com/p/1D5SG
Symbolbild Facebook
Picha: Reuters

Mkuu wa idara ya mawasiliano ya umma wa TCRA Inncocent Mungi anazungumza na Iddi Ssessanga kuhusu kampeni hii katika makala ya kinagaugaba. Kusikiliza makala hiyo bonyeza hapo chini.

Mwandishi: Iddi Ssessanga
Mhariri: Saum Yusuf