1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tanzania yamkumbuka Mwalimu Nyerere

14 Oktoba 2016

Mwalimu Nyerere alifariki dunia Oktoba 14, 1999, akiwa Uingereza alipokuwa amelazwa akisumbuliwa na saratani ya damu. Watanzania wanaadhimisha siku yake kwa mapumziko na mikutano yenye lengo la kumuenzi.

https://p.dw.com/p/2RDq0
Julius Nyerere
Picha: Getty Images/AFP

M M T/ J2.14.10.2016Tanzania Nyerere day-democracy and development Situation - MP3-Stereo

Sudi Mnette amezungumza na Mwalimu Azaveli Lwaitama, mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye kwanza anaeleza siku hii inamkumbusha nini.