Serikali ya Umoja wa Kitaifa Z'bar haitakufa - Moyo
Mohammed Khelef21 Aprili 2015
Katika mahojiano haya ya Kinagaubaga, Mzee Hassan Nassor Moyo, mwasisi wa chama cha Afro-Shirazi Zanzibar na baadaye CCM Tanzania, Muungano na mwenyekiti wa Kamati ya Maridhiano anazungumzia kufukuzwa kwake CCM na hatima ya serikali ya umoja wa kitaifa visiwani Zanzibar.