Rais akabidhiwa mapendekeo ya katiba
9 Oktoba 2014Matangazo
Katika hotuba yake amewataka wale ambao mawazo yao hayakujumuishwa katika katiba hiyo wawe wavumilivu. Sekione Kitojo amezungumza na mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Tanzania Ali Saleh, ambaye kwanza alitaka kujua hotuba hiyo imepokelewaje na wananchi ikitiliwa maana kuwa hotuba yake ya kwanza katika kuzindua bunge la katiba ililalamikiwa kuwa imesababisha kuligawa bunge hilo. Kusiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya kusikilizia masikioni hapo chini.
Mwandishi: Sekione Kitojo / Interview
Mhariri:Josephat Charo