Mchungaji Mtikila na Bunge la Katiba Tanzania
26 Februari 2014Matangazo
Katika mahojiano haya maalum ya Kinagaubaga, Mohamed Abdulrahman anazungumza na Mchungaji Christopher Mtikila, ambaye ni mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (DP) nchiini Tanzania na pia mjumbe wa Bunge la Katiba, ambapo mwanasiasa huyo anaonesha wasiwasi wake wa ikiwa bunge hilo litafanikiwa.
Kusikiliza mahojiano haya, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini kusikiliza mahojiano yote.
Mahojiano: Mohamed Abdu-Rahman/Mchungaji Mtikila
Mhariri: Mohammed Khelef