Tulionayo katika matangazo ya mchana watu watatu waokolewa wakiwa hai nchini Nepal//Waandamanji Marekani waandamana kwa shangwe, baada ya kushtakiwa kwa askari polisi sita kutokana na kifo cha Mmarekani mweusi Freddy Gray// Bondia wa Marekani Floyd Mayweather ashinda katika mpambano wa karne dhidi ya Manny Pacquiao wa Ufilipino.