1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenya: Odinga apendekeza mfumo wa utawala wa bunge

23 Oktoba 2014

Muungano wa upinzani CORD sasa unataka kuondolewa kwa mfumo wa utawala wa urais na kurejeshwa kwa mfumo wa utawala wa bunge.

https://p.dw.com/p/1DaDU
Raila Odinga
Picha: DW/A. Cascais

Raila Odinga ameonekana kuunga mkono hatua ya rais ya kukataa wazo la bunge la kuwashirikisha mawaziri katika vikao vya bunge.
Mwandishi wetu Alfred Kiti na ripoti zaidi. Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Alfred Kiti

Mhariri: Yusuf Saumu

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi