Mapigano Goma,kuzingirwa na jeshi,ngome ya wafuasi wa itikadi kali ya dini ya kiislam wa Nigeria- Maiduguri na mvutano kuhusu haki miliki ya jina la rais wa kwanza mweusi nchini Afrika Kusini Nelson Mandela magazetini
Hali nchini Syria,kishindo cha ndege inayorushwa bila ya rubani na kashfa ya kupendeleana katika chama cha CSU ni miongoni mwa mada zilizogonga vichwa vya habari vya magazeti ya Ujerumani.
Wiki hii magazeti ya Ujerumani yameandika juu ya mkutano wa kuchangisha fedha kwa ajili ya Mali, juu ya kodi kwa ajili ya maendeleo ya Afrika na pia yameandika juu ya ghasia zinazotokea nchini Nigeria
Wahariri wanatoa maoni juu ya mshuko wa uchumi katika Ukanda wa sarafu ya Euro, na juu ya dhima ya Ulaya katika mgogoro wa Syria.Ufuatao ni muhtasari wa maoni hayo
Tembelea DW katika Twitter
Kuwa shabiki wetu kwenye Facebook, tuchangiane mawazo.
Pata huduma zetu kupitia za SMS, RSS, Kijarida na huduma nyengine za mtandaoni kutoka DW.
Kijarida cha Deutsche Welle
Unaweza kujiunga moja kwa moja na huduma ya kupokea kijarida cha Deutsche Welle kupitia mtandao kwa kubonyeza hapa na upate taarifa za kila siku.