1. Inhalt
  2. Navigation
  3. Weitere Inhalte
  4. Metanavigation
  5. Suche
  6. Choose from 30 Languages

Matukio ya Kisiasa

Kenia: Kongamano la Kielelezo cha Umoja wa Mataifa

Kongamano la Kielelezo cha Umoja wa Mataifa Afrika Mashariki linalojumuisha wanafunzi wa shule za upili na vyuo vikuu kutoka mataifa 195 wanachama wa Umoja wa Mataifa limefunguliwa leo hapa Nairobi.

Jiji la Nairobi kunakofanyika Kongamano la Kielelezo

Jiji la Nairobi kunakofanyika Kongamano la Kielelezo

Kongamano hilo ambalo kauli mbiu yake ni “kujenga msingi kwa vijana kuwa viongozi wa kesho” linahudhuriwa na wajumbe wapatao 900

Mwandishi wetu Alfred Kiti kutoka Nairobi na Taarifa hiyo.

Mwandishi: Alfred Kiti

Mhariri: Mohamed Abdulrahman

Sauti na Vidio Kuhusu Mada