1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Burundi: Maiti zilizopatikana Ziwa Rweru zilitoka Rwanda

Samia Othman17 Oktoba 2014

Vita vya maneno kati ya Rwanda na Burundi vinaonekana kuchukuwa sura mpya baada ya Burundi kutangaza kwamba maiti zilizopatikana mwezi uliopita kwenye ziwa Rweru linalozitenganisha nchi hizo mbili zilitoka Rwanda.

https://p.dw.com/p/1DWvo
Picha: DW / Irene Anastassopoulou

Waziri wa mashauri ya kigeni wa Rwanda akiwa pia msemaji wa serikali ya nchi hiyo amesema taarifa hizo ni uzushi kwa sababu maiti hizo zilipatikana na kuzikwa kwenye ardhi ya Burundi. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi. Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Sylivanus Karemera

Mhariri: Saumu Yusuf

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi