1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

28.05.2015 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S09S28 Mei 2015

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Hali katika kambi za wakimbizi wa Burundi// Jarida la Forbes limemtaja Kansela wa Ujerumani Angela Merkel kuwa mwanamke mwenye nguvu zaidi duniani kwa mwaka wa tisa mfululizo// Polisi visiwani Zanzibar wameimarisha operesheni yao ya kupambana na matukio ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya wanawake

https://p.dw.com/p/1FXYn