Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Wabunge Madagascar wataka kumuondoa Rais Madarakani// Vyama vikuu vya upinzani nchini Burundi vimesema kufanyika uchaguzi ulio huru na haki wiki ijayo ni jambo lisilowezekana na kutahadharusha kwamba hawatoyatambua matokeo iwapo uchaguzi huo utafanyika// Polisi wa Uswisi kuwakamata maafisa wakuu wa shirikisho la FIFA katika makao yake makuu mjini Zurich