Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Bujumbura- mtaa wa Buyenzi wakaazi wamejiunga na maandamano kwa kuchoma matairi hali ilopelekeya Polisi kufyatuwa risasi nyingi na hivyo mtaa huo kusalia bila uhai// Wakuu wa polisi wa nchi za Uganda na Rwanda wamekubaliana kushirikiana katika kukabiliana na changamoto zinazosababishwa na machafuko yanayoendelea kwenye eneo la Afrika mashariki