Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Kutokana na misururu ya mashambulizi Kaskazini Mashariki ya Kenya yanayotekelezwa na kundi gaidi la Al-Shaabab, wakazi wamejawa na hofu//Rais wa kipindi cha mpito katika Jamhuri ya Afrika ya Kati ametoa mwito kwa wafadhili wa kimataiafa wa kutimiza ahadi za kuisaidia nchi yake// Wagombea wanane wanawania nafasi ya rais wa benki ya Maendeleo ya Afrika ADB