Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni pamoja na: Uhusiano kati ya Ujerumani na Urusi baada ya hatua ya Urusi kutwaa rasi ya Crimea mwaka mmoja uliopita// Uchambuzi: Mafanikio ya jeshi la Nigeria katika juhudi za kupambana na magaidi wa Boko Haram// Kenya: Mtandao wa walimu walio na ukimwi, Kisumu