Miongoni mwa taarifa zlizoandaliwa ni pamoja na Wanajeshi wa Iraq washirikiana na wapiganaji watiifu kuwashambulia wanamgambo wa IS mjni Ramadi// Watu wawili wauawa katika shambulizi la guruneti Burundi// Rais wa Sudan Kusini aonya vikwazo dhidi ya nchi yake vitachochea zaidi vita.