Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Uchaguzi mkuu wa Uingereza- Baadhi wanahofu kuwa kura hiyo inaweza kuwa mwanzo wa mwisho wa uanachama wa Uingereza katika Umoja wa Ulaya// Uganda inaandaa mpango wa kuwaingiza jeshini vijana wanaomaliza shule kwa ajili ya ulinzi wa nchi yao dhidi ya magaidi wa Al -Shabaab