Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mahakama yamuidhinisha Nkurunziza Burundi// Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani amefanya ziara ya ghafla nchini Somalia hii leo// Mapigano baina ya majeshi ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, FARDC na waasi wa Uganda// Mgomo wa mabasi nchini Tanzania leo umeingia siku ya pili