Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Ripoti kuhusu wakimbizi wa Burundi waliokimbilia nchini Rwanda// Viongozi wa chama cha Conservative na Labour nchini Uingereza wako katika juhudi za mwisho mwisho kuwashawishi wapiga kura kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini humo hapo Alhamisi// Hali ya ukunga nchini Tanzania