Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni pamoja na:Makundi yanayofata siasa za mrengo wa kushoto pamoja na vyama vya wafanyakazi leo yamefanya maandamano barani Ulaya, Mashariki ya Kati na Asia katika kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani // Kiongozi wa moja ya makundi mabaya ya uasi Mashariki mwa nchi hiyo, amekamatwa nchini Tanzania