1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

TCRA na usimamizi wa vituo vya habari Tanzania

Mohammed Khelef
16 Mei 2024

Katika makala hii Mohammed Khelef ameketi chini na meneja wa huduma za utangazaji Andrew Kisaka kutoka Mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA na kuzungumzia namna mamlaka hiyo inavyosimamia vyombo vya habari vya utangazaji Tanzania na hatua wanazozichukua pale vinapokiuka kanuni.

https://p.dw.com/p/4fubz